DARULMAARIFA MOROGORO

Hawzat Abil-Fadhlil-Abbas(A.S) Morogoro-TANZANIA

  • HOME
  • HAWZAT
  • HISTORIA YA UISLAMU
  • KARIBU MADRASA
  • KIONGOZI

Monday, 28 March 2016

asalaam alaykum.wafuasi wa madhehebu ya ahlu libayt mkoani morogoro wakiwa wameungana na wenzao wakirsito katika kusafisha makaburi ya ndugu zao waliotangulia mbele ya haki.kiongozi mkuu wa mashia mkoani morogoro kwa upande wa waafrika sheikh abuu hamza saidi kipanga aliwataka wafuasi wote wa madhehebu mbalimbali kushikamana na kuwa na umoja pasina kujari itikadi zao,nao viongozi wa kikirsito walimtaka kudumisha undugu pamoja nao kwani wote ni wana wa adamu na wametoa shukrani zao za dhati juu ya kiongozi huyo na wafuasi wake wote na kusema kuwa huu ndo uisilam wa haki kwani hauna ubaguzi wowote.

Posted by Unknown at 22:20 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Newer Posts Older Posts Home
Subscribe to: Comments (Atom)

Followers

HEKIMA ZA ALLY[AS]

HAMNA UTAJIRI KAMA KUWA NA AKILI[KUITUMIA AKILI IPASAVYO]NA HAMNA UFAKIRI KAMA KUWA MJINGA(ALLY A.S)

Popular Posts

  • (no title)
  • darsa ya ujue ushia ktk baadhi ya majaalis jijini dar es salaam
    AMESEMA AL IMAM ALMAHADY{AS}. yeyote miongoni mwa mafaqih  anayeweza kulinda nafsi yake,ambaye anaweza kuhifadhi dini yake, anayepigana na ...
  • SWALA YA EID ILIYOSWALIWA LEO HAWZAT ABIL_FADHLIL-ABBAS A.S MOROGORO
  • KUELIMIKA KWA JAMII KUTATOKANA NA SUBRA ZA WALIMU KTK CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI.
    Jamii Yenye mabadiliko ni  Ile ilioweka mbele suala la Elimu.
  • usafi wa malazi walipo lala ndugu zetu waliotangulia ni jambo la msingi hususani sisi ambao bado tuko hai.
  • Assalamu Alaykum warahmatullahi taala Wabarakatuhu, ni jambo muhimu sana kumshukuru Allah Kulingana na nafasi aliyotupa ya kuitumikia Dini na Kuhakikisha Hawzat Abil-fadhlil-Abbas A.S Morogoro Tanzania imekuwa ni Moja ya Vinara vya Ahlul bayt A. S wadhulumiwa Katika Historia,Hawzat ikisimamiwa na Mudiru Sheikh Abuuhamza said imekuwa ni kisima cha Elimu kwa jamii inayotuzunguka na hata kwa watu wanaotoka nje ya Mkoa wa morogoro.
  • UMUHIMU WA SENSA KATIKA JAMII
    Sensa  ni utaratibu wa kupata na kurekodi habari kuhusu idadi ya watu fulanifulani. Ni utaratibu wa mara kwa mara na hesabu rasmi ya idadi...
  • asalaam alaykum.wafuasi wa madhehebu ya ahlu libayt mkoani morogoro wakiwa wameungana na wenzao wakirsito katika kusafisha makaburi ya ndugu zao waliotangulia mbele ya haki.kiongozi mkuu wa mashia mkoani morogoro kwa upande wa waafrika sheikh abuu hamza saidi kipanga aliwataka wafuasi wote wa madhehebu mbalimbali kushikamana na kuwa na umoja pasina kujari itikadi zao,nao viongozi wa kikirsito walimtaka kudumisha undugu pamoja nao kwani wote ni wana wa adamu na wametoa shukrani zao za dhati juu ya kiongozi huyo na wafuasi wake wote na kusema kuwa huu ndo uisilam wa haki kwani hauna ubaguzi wowote.
  • michezo ni moja ya vishawishi kwa vijana kuwavuta ktk,,dini
  • walimu wa hawzat abil fadhlil-abbass as morogoro

About Me

Unknown
View my complete profile

HABARI ZA BLOG

  • December (1)
  • September (9)
  • August (1)
  • July (1)
  • August (1)
  • June (2)
  • May (2)
  • April (6)
  • March (1)
  • February (7)
  • January (7)
  • December (33)
  • November (3)
  • October (10)
  • September (70)
  • August (5)
  • May (17)
  • April (1)
  • March (1)
  • August (5)
  • April (1)
  • January (4)

Advertisement

Translate

TOTAL VIEWERS

@darulMaarifa All right Reserved. Simple theme. Powered by Blogger.