Wednesday, 30 September 2015
Saturday, 26 September 2015
Friday, 25 September 2015
Thursday, 24 September 2015
DARULMAARIFA MOROGORO: MICHEZO
DARULMAARIFA MOROGORO: MICHEZO: chelsea yakabidhiwa rasmi ubingwa EPL UNADHANI,,,EDEN HAZAD ATAKUWA MCHEZAJI BORA MSIMU UJAO NA KUNYAKUA TUZO YA ballon dor????
DARULMAARIFA MOROGORO: MICHEZO
DARULMAARIFA MOROGORO: MICHEZO: chelsea yakabidhiwa rasmi ubingwa EPL UNADHANI,,,EDEN HAZAD ATAKUWA MCHEZAJI BORA MSIMU UJAO NA KUNYAKUA TUZO YA ballon dor????
KUFIKISHA UJUMBE WA AHLUL-BAYT A.S. KUNA NJIA NYINGI IKIWEMO MAATAM AU QASWIDA
Tuesday, 22 September 2015
UMOJA KTK UBINADAMU
Hakuna Binadamu yeyote Aliye mkamilifu anayepinga au kuchukia suala la Umoja
Japokuwa ni suala lenye changamoto nyingi kwa sababu Jamii inayohitajia umoja
Haijafikia kutambua vitu Ambavyo ni Muhimili Katika Umoja,mambo yafuaatayo ni
Nguzo muhimu ktk umoja wowote Duniani,(1)Mambo Kijamii (2)Uchumi (3)Siasa (4)Maswala ya Fikra.,..na hili mafanikio yake hupatikana endapo kutakuwa na mahusiano mema kati ya Taasisi Zinazo shughulikia Maswala hayo ya Umma,kwani
Jamii itakapofanana na kuendana au kukuwa ustawi wake Katika Nyaja yaKiuchumi
Kisiasa na Hata Kifikra,itasaidia kutokuwepo matabaka ktk jamii,naUmoja utakuwepo,ukitizama mara nyingi kinachochangia Umoja kupotea ni mambo tuliyoyataja hapo juu,tukirudi ktk kuangalia Dini zote tutakuta wana siku maalumu ya Ibada ambayo hukusanyika watu wa matabaka yote bila kujali rangi wala kabila hii inatuonyesha kuwa suala la kumuabudu muumba pamoja linatukumbusha maumbile yetu tuliyoumbiwa,tukimtizama Nabii Adam (A.s)kwa mazingatio tutakuta hakuumbwa peke yake,huu ni ukumbusho kwa wenye kutafiti na kufikiri ni upi umuhimu wa umoja pasina kujali rangi Dini Au Kabila.
Subscribe to:
Posts (Atom)