Mudiru wa Hawzat Imam Swadiq (A.S) Sheikh Muhammad Abdu Akiwa anamzungumzia Mjukuu wa Mtume s.a.w.w Imam Hussein (A.S)ambaye ktk Masiku haya ndo Anaanza Msafara wake wakutoka Madina kuelekea Makka kisha kuishia Iraq Karbalaa alipoiaga Dunia kishahidi.
No comments:
Post a Comment