Assalamu Alaykum warahmatullahi taala Wabarakatuhu, ni jambo muhimu sana kumshukuru Allah Kulingana na nafasi aliyotupa ya kuitumikia Dini na Kuhakikisha Hawzat Abil-fadhlil-Abbas A.S Morogoro Tanzania imekuwa ni Moja ya Vinara vya Ahlul bayt A. S wadhulumiwa Katika Historia,Hawzat ikisimamiwa na Mudiru Sheikh Abuuhamza said imekuwa ni kisima cha Elimu kwa jamii inayotuzunguka na hata kwa watu wanaotoka nje ya Mkoa wa morogoro.
Maashallah
ReplyDeleteMaashallah
ReplyDeleteاحسنتم
ReplyDelete