Tujiulize tunamapenzi ya kumpenda Mtume S. A.W. W kiasi gani katika nyoyo zetu?na tukipata majibu hayo ndipo tutafahamu wajibu wetu ni upi kwa mola Mtukufu kwaajili ya Mtume S. A.W. W na kulingana na darja ya Mapenzi yetu kwake Mtume S. A.W. W ndo tutaweza kumtii nakufuata wasia wake wakufuata kitabu cha Mwenyezi Mungu Na Kizazi Chake.
No comments:
Post a Comment